NI KIVUMBI TU NDANI YA MTWARA MAENEO YALIYO TARAJIWA KUWEKWA VIWANDA
Mabomu yameapigwa mfululizo Mtwara . Takriban mabomu 20 na ushee mpaka sasa.
Eneo lililotengwa kwa ajili ya viwanda likiteketea kwa moto. Eneo liko karibu na bahari. Lilikuwa linamilikwa na serikali na ujenzi chini ya kampuni kutoka Marekani ulikuwa unaendelea. Wazungu wamekusanya baadhi ya vitu vyao na kuondoka eneo hilo.
No comments:
Post a Comment