Thursday, May 30, 2013

DAR LIVE 2009 NGWAIR,FID Q  AND MZUNGU CHIZI(MUSIC VIDEO)
WIMBO KUHUSU MAOMBOLEZO YA ALBERT MANGWAIR(MUSIC AUDIO)
P-FUNK AKIELEZEA HABARI YA KIFO CHA  ALBERT MANGWAIR(VIDEO)

Tuesday, May 28, 2013

COCCIDIOSIS BEBE COOL-(MUSIC VIDEO)
DARK MASTER AKIELEZEA KIFO CHA NGWAIRE WALIVOKUWA HUKO SOUTH(VIDEO)

DJCHOKAblog: (News) Mwana FA Ameairisha "The Finest" Kama Zaman...

DJCHOKAblog: (News) Mwana FA Ameairisha "The Finest" Kama Zaman...:   Mwana FA Kala Pina
IZZO BUSINESS- KUAHIRISHA SHOW KWA SABABU YA KIFO CHA NGWAIRE


samahani kwa ma fans wangu kuahirisha kwa show pale vibe"mbeya" kwasababu ya kifo cha msanii mkongwe( alberto mangewea), ila nitawajulisha punde kuhusu show hiyo.
.....................................................R.I.P. (alberto)

Sunday, May 26, 2013

Saturday, May 25, 2013

MAFIKIZOLO feat UHURU-KHONA(MUSIC VIDEO)
MAKOMANDO-(MUSIC VIDEO)
BIG BROTHER LEO 26 MAY KUFUNGULIWA NA " STR" & CHURCHIL TOKA KENYA
stl-new
STR ni rapper wa kike toka kenya ambaye ata fanya show kali le  South A.kwenye ufunguzi wa Big brother akiungana na mchekeshaji maarufu (Rurchil) wote kutoka kenya
BABA LEVO FEAT  H.MBIZZO-NYONG'ONYEZA(MUSIC VIDEO)
LORD EYEZ -AKIELEZEA MAPRODYZA ANAOPENDA KUFANYA NAO KAZ(VIDEO)
P-FUNK,LAMAR,DUNGA,KALABANI&JOHN MAHUNDI-HANDS UP(MUSIC AUDIO)

FEDHA KESSY-BIG BROTHER 2013(A TANZANIAN MEMBER)(IMAGE)

mwanadada Fedha Kessy Ndiye mwakilishi wa   wa Big brother 2013 toka tanzania
Big Brother Africa 2013 itaanz leo tarehe 26 May 2013.

Friday, May 24, 2013


FOXY BROWN AKANA KUMTUSI JAY-Z KUWA ANA GONJWA LA ZINAA(NEWS)


Foxy Brown ameudhika sana na ripoti zilizoenea kuwa amemtukana Jay Z.... akiongea na mtandao wa TMZ amesema, hajawahi kutukana Jay kuwa ni muathirika  wa gonjwa  la gonorrhea, Tranny Chaser...na sasa anatishia kuwapeleka mahakamani.
Brown anazungumzia ripoti zinazosema,hivi karibuni alienda kwenye baby shower na kuanza kumsema Jay na maisha yake ya kimapenzi kwa mmoja wa wageni katika sherehe hiyo- na kusema kuwa anajihusisha na mapenzi ya jinsia moja, na kuwa alipoteza bikira yake kwake wakati alipokuwa na miaka 15 na Jay alikuwa na miaka 27.

kuna mengi yaliyozungumzwa ikiwa ni pamoja na tuhuma za Jay kujihusisha na wizi, video ya ngono na STDs.
Foxy amesema, ripo hizo ni za kijinga kabisa, na nilipoziskia ziliniumiza san atumbo, na kila mmoja aliehusika atapigiwa simu na mwanasheria wangu

Jay siku zote amekuwa ni mtu mzuri kwangu na familia yangu, rafiki mzuri kwa miaka yote hii niliyomfaham, na hatukuwa na chochote zaidi ya mafanikio makubwa kama team

Beyonce, mke wake amekuwa ni mtu mzuri sana kwangu,sitakubali hater yoyote kutengeza story na kuniharibia heshima yangu na muonekano wangu. 
huku kuvunjiana heshima hakuweza kuvumilika.
DIAMOND NDANI YA CONGO AFANYA MASHABIKI WAPIGANE KISA SHATI(VIDEO)

Wednesday, May 22, 2013

 NI KIVUMBI TU NDANI YA MTWARA MAENEO YALIYO TARAJIWA KUWEKWA VIWANDA

 Mabomu yameapigwa mfululizo Mtwara . Takriban mabomu 20 na ushee mpaka sasa. 
Eneo lililotengwa kwa ajili ya viwanda likiteketea kwa moto. Eneo liko karibu na bahari. Lilikuwa linamilikwa na serikali na ujenzi chini ya kampuni kutoka Marekani ulikuwa unaendelea. Wazungu wamekusanya baadhi ya vitu vyao na kuondoka eneo hilo.
ROFF: JAY NDANI YA CHADEMA NA SUGU MOTO CHINI(KINEGA)

 K-WA MAPACHA NAYE AKIWA YUMO

more photo.........


Zero Brain E03 With Dubo.flv

ZERO BRAIN WITH DUBO JESUS SON(DIR. RINGLE THE DON)
 "Nina mistari ya moto ila nnachana mpaka sheli"
Zero Brain Episode 04 with Samz and Big Data


The Hottest show in Africa
"kweli hip hop iko Africa"

Monday, May 20, 2013

AFANDE ASUSA KULA BAADA YA SIMBA KULA KIPIGO


Jumamosi (May 18) kulikuwa na mpambano wa watani wajadi Simba na Yanga na timu ya Simba iliupoteza mchezo huo kwa kufungwa magoli 2 kwa bila na Yanga.
King Selemani ama Afande Sele kutoka mji kasoro bahari Morogoro ni moja ya watu wanaonekana kuwa ‘addicted’ na ushabiki wa soka kiasi cha kushindwa kuvumilia maumivu ya kufungwa kwa timu anayoishabikia, Simba kitendo kilichompelekea asuse kula toka Jumamosi.
Akizungumza na Suddy Brown katika U Heard kupitia XXL ya Clouds FM, mke wa rapper huyo mkongwe Mama Tunda, amethibitisha kuwa mumewe amegoma kula toka siku ya mechi.pole sana Afande Sele...!!!!!

Saturday, May 18, 2013


ZERO BAIN WITH DUBO JESUS SON(MUSIC VIDEO)(DIREC.RINGO BEATS)


Wednesday, May 15, 2013

NEW HITS OF DARASA FEAT O'SMANI-HAKI SAWA(PROD.MANECKY)(MUSIC AUDIO)


DOCHI FLEVA FEAT ALI KIBA-IMANI(MUSIC VIDEO)

Monday, May 13, 2013

MANSU LI FEAT P THE MC-MICHANO(MUSIC VIDEO)


Exclusive: Hemedy aelezea sababu za kufanyiwa fujo na Mama wa Kizungu Billcanaz

Exclusive: Hemedy aelezea sababu za kufanyiwa fujo na Mama wa Kizun
AFANDE SELE(A.K.A SIMBA DUME) APATA UDHAMINI TOKA KWA ZITO KABWE



Mapema asubuhi hii Mfalme wa Rhymes Afande Sele ametoa ya moyoni na kuelezea lengo lake la kutunga wimbo wa DINI TUMELETEWA kumrudisha Muafrika kwenye Uafrika na msingi wake wa UMOJA, USHIRIKIANO na UPENDO. Pia hakuwa nyuma kutoa shukrani zake kwa Mbunge wa Kigoma Kaskazini Mh. Zitto Kabwe kwa kumuwezesha kugharamia Video ya wimbo wake huo mpya ambao unafanya vizuri sana kwa sasa.

Nanukuu "Lengo la hii kazi yangu mpya DINI TUMELETEWA ni kumrudisha mwafrika kwenye uafrika wake ambao msingi wake ni UMOJA, USHIRIKIANO NA UPENDO. Ambao kwa siku za hivi karibuni tumeshuhudia ukitoweka. Tumeona mapigano/mauaji ya itikadi za kidini wenyewe kwa wenyewe, pia kuelezea uhuru wa kuabudu kwa imani yoyote bila kuvunja sheria za Taifa letu. Kwa mtu yoyote makini mwenye mapenzi mema kwa Taifa letu na AFRIKA hawezi kupingana na hilo, kwa kutambua hilo MH; ZITTO ZUBERI KABWE(ZZK) kajitolea kugharamia gharama zote kwa ajili ya kufanikisha vidio bora kabisa ya wimbo huu, hii ni kazi yetu wote mimi na wewe, tunasema asante sana kwa Mh; Zitto. AMANI NA UPENDO KWANZA":


Tuesday, May 7, 2013

Monday, May 6, 2013

RVP ANGOJEA KOMBE LA UBINGWA KWA HAMU KUBWA!!


Jumatatu, 06 Mei 2013 21:32
ChapishaToleo la kuchapisha
>>RVP: “NIMESUBIRI MUDA MREFU KUWA BINGWA!!”
>>ALIHAMA KUSAKA TAJI, SI KUPIGANIA 4 BORA MIAKA NENDA RUDI!
>>KOMBE RASMI OLD TRAFFORD JUMAPILI MEI 12!!
RVP_in_RED2ROBIN VAN PERSIE amekiri kuwa amengoja muda mrefu mno hadi kutwaa Taji lake la kwanza la Ubingwa wa BPL, Barclays Premier League, na Jumapili ijayo, ndani ya Old Trafford, wakikabidhiwa Kombe lao baada ya Mechi yao na Swansea City ambayo ndio ya mwisho Msimu huu Nyumbani kwao, itakuwa ni kutimia kwa ndoto yake.
Jumapili, Mei 12, Siku ambayo Man United watakabidhiwa Kombe la Ubingwa wa BPL, itakuwa ni Wiki 3 tangu Robin van Persie apige Hetitriki walipoifunga Aston Villa 3-0 na rasmi kuwatazwa kuwa Mabingwa.
Ushindi huo na Bao hizo za Van Persie ulikuwa ni uthibitisho rasmi kuwa yeye ndie alikuwa ufunguo wa Man United kutwaa Taji lao la 20 la Ubingwa na kuzidi kujikita kuwa wao ndio Klabu Bora England kwa kutwaa Mataji mengi kupita nyingine yeyote.RVP-UBNGWA_NA_20
Van Persie, ambae aliihama Arsenal mwanzoni mwa Msimu huu ili asake Mataji badala ya kupigania kufuzu 4 Bora Miaka nenda rudi, ametamka: “Ni hisia ambayo huwa unaiota tu! Kila kitu ni kunyanyua lile Kombe! Tulipigaji Picha safi tulipoifunga Villa na kutwaa Ubingwa lakini kuna kitu kilikosekana! Ni Kombe!”
Aliongeza: “Hiyo ndio Picha nitaitia fremu na kuitundika Nyumbani kwangu, mimi nikinyanyua Kombe la Barclays Premier League! Nashindwa kusubiri muda huo! ”
Wakati akihamia Man United mwanzoni mwa Msimu kuna baadhi ya Watu walikuwa na wasiwasi na uhamisho huo lakini kwa Sir Alex Ferguson, Meneja wa Man United, na Van Persie, kulikuwa hamna hilo na mwenyewe Van Persie anaeleza: “Nisingehama kama ningekuwa na mashaka. Tangu Siku ya kwanza nilikuwa nina hakika tutashinda Msimu huu. Niliona Wachezaji mazoezini. Niliwaona wanavyojituma, wao na Makocha. Ukichanganya vyote hivyo unapata Timu ya Mabingwa. Kubwa zaidi ni kuwa pamoja na Timu yenye Wachezaji wanaojua kushinda.”
Mbali ya Kombe la Ubingwa, Van Persie pia ndie anatarajiwa kutwaa Butu ya Dhahabu kwa kuwa anaongoza akiwa Mfungaji Bora wa BPL akiwa na Goli 25 na kufuatiwa na Luis Suarez wa Liverpool, ambae yupo Kifungoni Mechi 10 hivyo hatamletea upinzani, na anaefuatia ni Gareth Bale ambae yuko Bao 5 nyuma.
Lakini mwenyewe Van Persie anasema: “Ukweli ni kuwa hiyo Tuzo si sahihi. Haya Magoli ni ya Timu nzima. Bora wangetoa Kiatu cha Dhahabu kwa Timu! Ingawa itafurahisha kushinda hiyo lakini Ubingwa ndio muhimu!”
WAFUNGAJI BORA:
NA
JINA
TIMU
GOLI
1
Van Persie
Man United
25
2
Suarez
Liverpool
23
3
Bale
Tottenham
20
4
Benteke
Aston Villa
18
5
Michu
Swansea
17
6
Ba
Chelsea
15
7
Lambert
Southampton
14

Lukaku
West Brom
14
8
Berbatov
Fulham
13

Lampard
Chelsea
13

Walcott
Arsenal
13
9
Cazorla
Arsenal
12

Dzeko
Man City
12

Rooney
Man Utd
12
10
Aguero
Man City
11

Defoe
Tottenham
11

Fellaini
Everton
11

Fletcher
Sunderland
11

Giroud
Arsenal
11

Kone
Wigan
11

Le Fondre
Reading
11

Tevez
Man City
11
BPL, BARCLAYS PREMIER LEAGUE
RATIBA
Jumatatu Mei 6
[Saa 4 Usiku]
Sunderland v Stoke
Jumanne Mei 7
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Man City v West Brom
Wigan v Swansea
Jumatano Mei 8
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Chelsea v Tottenham
Jumamosi Mei 11
[Saa 8 Dak 45 Mchana]
Aston Villa v Chelsea
Jumapili Mei 12
[Saa 9 na Nusu Mchana]
Stoke v Tottenham
[Saa 11 Jioni]
Everton v West Ham
Fulham v Liverpool
Norwich v West Brom
QPR v Newcastle
Sunderland v Southampton
[Saa 12 Jioni]
Man United v Swansea
Jumanne Mei 14
[Saa 3 Dak 45 Usiku]
Arsenal v Wigan
[Saa 4 Usiku]
Reading v Man City
Jumapili 19 Mei
***MECHI ZA MWISHO ZA LIGI MSIMU HUU
[Saa 12 Jioni]
Chelsea v Everton
Liverpool v QPR
Man City v Norwich
Newcastle v Arsenal
Southampton v Stoke
Swansea v Fulham
Tottenham v Sunderland
West Brom v Man United
West Ham v Reading
Wigan v Aston Villa
+++++++++++++++++++++++
MSIMAMO:
**FAHAMU: BINGWA TAYARI NI MANCHESTER UNITED!!
NA
TIMU
P
GD
PTS
1
Man Utd
36
42
85
2
Man City
35
30
72
3
Chelsea
35
34
68
4
Arsenal
36
31
67
5
Tottenham
35
18
65
6
Everton
36
14
60
7
Liverpool
36
25
55
8
West Brom
35
1
48
9
Swansea
35
-1
43
10
West Ham
36
-8
43
11
Stoke
35
-10
40
12
Fulham
36
-11
40
13
Aston Villa
36
-21
40
14
Southampton
36
-11
39
15
Norwich
36
-22
38
16
Newcastle
36
-23
38
17
Sunderland
35
-12
37
18
Wigan
35
-22
35
19
Reading
36
-26
28
20
QPR
37
-29
25
**QPR & READING TAYARI ZIMESHUKA DARAJA

CLOUDS WAFUNGUKA KUHUSU JAY DEE


RUGE MUTAHABA

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam
UONGOZI wa Clouds Media Group kwa kupitia Mkurugenzi wao wa Utafiti na Matukio, Ruge Mutahaba, umemtaka msanii wa Bongo Fleva, Judith Wambura, Lady Jay Dee ajipange na kupokea changamoto badala ya kutafuta mahali kwa kujiegemeza kwa kueneza matusi kwao.
Clouds Media leo wamefungua  mdomo kwa mara ya kwanza kwa kipindi cha miezi mitano tangu Jay Dee alipokuwa akiwarushia makombora kwa madai kuwa wameharibu soko la muziki wa Bongo Fleva sambamba na kuitangaza bendi ya Skylight kwa ajili ya kuiangamiza Machozi Bendi.
Akizungumza jana jijini Dar es Salaam ambapo pia alikuwa akirushwa moja kwa moja katika redio ya Clouds FM, Mutahaba alisema Jay Dee amekuwa akilalamikia mambo mawili ambayo ni bendi ya Skylight na matangazo yake yaliyoshindwa kurushwa hewani japo alilipia Sh 240,000.
Alisema suala hilo walilimaliza baada ya kumueleza kuwa redio yao haiwezi kukataa matangazo kwakuwa ndiyo wanayowafanya waendelee kuwa kinara katika suala zima la kuiendesha Clouds FM.
“Nilimwambia kamwe hatuwezi kukataa matangazo na kama kuna lolote limefanyika, basi ni kwa bahati mbaya, ukizingatia kuwa tayari alishafanya kazi nyingi pamoja na kupewa urahisi kwenye kazi zake kwa kupitia Clouds FM.
“Pamoja na yote hayo, bado matusi na kejeli yaliendelea hasa katika mitandao ya kijamii jambo lililotufanya tuamuwe sasa kujibu japo hapo kabla tuliamua kubaki kimya kwa ajili ya kulinda hadhi ya kazi zetu,” alisema.
Kuhusu shutuma za kuitangaza zaidi Skylight Bendi, Ruge alisema bendi hiyo si mali ya Joseph Kusaga, Mkurugenzi wao wala yeye, kama madai hayo yanavyotolewa bila kufanya utafiti, isipokuwa ni mali ya Sebastian Ndege.
“Kama kuna mvutano kati ya Machozi Bendi na Skylight basi ni wa kibiashara maana wote wanalipa fedha za matangazo na kama chanzo ni Jay Dee kuporwa wanamuziki wake, hilo si jambo geni kwenye muziki.
“Dada yangu Asha Baraka asingekuwa makini angelia sana, maana kila bendi inayoanzishwa au kuendeshwa lazima ichukuwe wanamuziki kutoka kwake, ukizingatia kuwa ni jambo la kawaida hivyo tumuomba Jay Dee atumie busara katika hili pamoja na kuumiza kichwa kupokea ushindani na changamoto kama hizo za kuchukuliwa wanamuziki,” aliongeza Ruge.
Aidha, Ruge alisema Clouds FM ni redio ya watu binafsi, hivyo si ina utaratibu wake katika utendaji wa kazi, ikiwapo kuchagua nyimbo au kuacha kupiga kama kuna mtu amekwenda kinyume, hasa wale wanaopita nje na kuanza kuwatusi, kuwakejeli bila kukumbuka fadhira walizofanyiwa kabla ya kuwa maarufu wao.
Pia alisema Clouds FM ipo tayari kufanya majadiliano ya wazi na mtu yoyote mwenye hisia tofauti juu yao, huku ikiwataka wasanii waongeze bidii katika kazi zao ili wasimlaumu mtu wanapoanguka na kuwapisha wengine, maana muziki unaonekana ni wa kupokezana vijiti.
Katika siku za hivi karibuni katika vyombo vya habari hasa hasa kwenye mitandao ya kijamii nchini kumekuwa na taarifa rasmi na zisizo rasmi kutoka kwa Mwanamuziki Lady Jaydee alilalamikia Kituo chetu cha Clouds FM na wakurugenzi wake Ruge Mutahaba na Joseph Kusaga.
TAARIFA KAMLI YA RUGE HII HAPA

Kwa mtazamo wangu, kila mwananchi ana haki ya kutoa maoni yake ingawa kwenye nchi yetu ya Tanzania, tumezoea maoni hayo kutolewa kwa lugha ya ustaraabu na staha. 
Maoni kuhusu nani wa kuja kwenye msiba wako au nyimbo za kupigwa kwenye msiba wako ni haki ya kila mwananchi na hakuna atayeuingilia uamuzi huo. Maoni pia ya redio gani mtu anaipenda au tv gani pia nayo ni utashi wa mtu mwenyewe. 
Uongozi wa Clouds FM ulikuwa umefikia maamuzi ya kutojadili jambo hili kutokana na kuamini kuwa ni tatizo binafsi la mtu na sio jambo lenye maslahi ya Taifa hivyo kwa uhalali linahitaji majadiliano au mazungumzo binafsi. 
Sura ambayo jambo hili limewekwa na kulifanya kama dharura ya kitaifa sio sahihi kabisa kutokana na kukosekana na hoja za kina za kuhitaji majibu na pili kukosekana kwa ujumla wa tija kwa tatizo hili kitaifa. 
Bado ninaamini linatakiwa kubaki kama tatizo la mtu binafsi ila inapofika taarifa zikapotoshwa kwa nia ya kuwapa mtazamo tofauti wasikilizaji wetu, Clouds FM inataka kuweka maslahi ya wasikilizaji, wabia wetu wa biashara na watanzania wote mbele kwa kuwapa taarifa sahihi za jambo hili. 
Clouds Media Group inapata lawama kubwa sana kutoka kwa watu wengi ambao pamoja na kuunga mkono ukimya wetu wanajiuliza ni kwanini hatukufanya jitihada za kumaliza tatizo hili bila kufika hatua iliyofikia sasa ya matusi, kebehi na vitisho kutwa vinavyoelekezwa kwetu na pia vinaendelea kuichafua tasnia ya muziki hasa hasa Bongo flava; ambayo imefika mahali inaonekana kila changamoto inayomkabili msanii wa Bongo flava lazima itatuliwe kwa njia za mabavu (matusi, vitisho na kuchafuana). 
Lawama hizo sio za kweli na naomba nirudi nyuma kidogo kwenye historia ya jambo hili. Tarehe 14 mwezi wa 12 mwaka 2012 kwenye tweeter account ya Jaydee, alipost kifuatacho:  
Nilichofanya ni kumpigia simu na kuzungumza nae.  Akasema sijaandika kwenye blog chochote, nikamwambia Jide mi nakuheshimu sana. Nimekupigia kwasababu naamini kama kuna kitu chochote ni bora nisikie kwako, nategemea na wewe pia utanipigia iwapo kuna jambo lolote lile.  Tulikotoka sisi hatutakiwi kuendeshwa na majungu na maneno ya mtaani.Hiyo ilikuwa tarehe 14 mwezi December mwaka jana. Baada ya kama dk 10 hivi akanitumia msg ( ambazo bahati nzuri nilizihifadhi) na kusema ni kweli alikuwa ananizungumzia mimi kwa sababu kuna vitu kadhaa vinamsumbua na aliambiwa mimi ndo nilihusika navyo. 
La kwanza, ‘nililipa matangazo ya shs laki mbili na 40 ila hayajachezwa na wala sijarudishiwa hela yangu, nimeambiwa umekataza matangazo yangu ya Nyumbani lounge yasipigwe’.  
La pili, naruhusu watangazaji wangu wamtukane ikiwa ni pamoja na kupromote zaidi bendi ya Skylight. 
Pamoja na kwamba yeye alinitumia message, mimi nilimpigia simu na kumpa ufafanuzi wa yote hayo niliyosema hapo juu. 
Nikasema, Biashara yetu sisi ni matangazo…..kwanini tukataze matangazo yako yasipigwe?? Labda bahati mbaya tu, jamaa anayebook matangazo alipitiwa kuyabook kibinadamu ila Gadna si anakuja hapa kila wakati, kwann asimkumbushe tu?? Tutayasogeza tu mbele hadi wiki inayofuata, kwanini niyakataze wakati muda sio mrefu tumetoka kuleta biashara ya Repa bora wa bendi hapo hapo Nyumbani lounge. 
Niliendelea kujibu kuwa sio kweli kabisa, siwezi kuruhusu jambo kama hilo na kama ni kweli mtangazaji anamtukana anifahamishe ni nani na kwenye kipindi gani, nitasikiliza kipindi na kama ni kweli nitamfukuza kazi ( Clouds ina mitambo ya kuhifadhi matangazo yake yote kwa takribani miezi 9).
Hili nilimjibu kwa kirefu kidogo ikiwemo kumwambia akaze buti maana Skylight Band wanakuja juu nk nk. (Skylight Band ni bendi inayofanya vizuri sana hapa mjini na ilipoanza ilichukua baadhi ya majina makubwa kutoka Machozi Band). 
Baada ya kumaliza mazungumzo tuliagana vizuri tu kwa miadi ya kukutana nikirudi maana nilikuwa safarini. 
Kwahiyo ukiniuliza Jaydee anacholalamika ni nini??? Jibu langu litakuwa ni hayo mambo mawili maana hata nyie watanzania wenzangu mnaosoma mitandao ya kijamii mtakubaliana na mimi kuwa amekuwa anashambulia personality zetu, mimi na Mkurugenzi mwenzangu bila kuweka wazi hoja za msingi kuhusu yale anayotutuhumu nayo.  Nimejitahidi sana kuelewa tatizo lake hasa ni nini na imekuwa inanipa shida kidogo?? Nimejitahidi sana kufikiria ni mirija ipi ya biashara kwake imeingiliwa, nakosa majibu???  
Clouds FM ni ya watu na watu wanaweza kufanya makosa kweli na hata kusababisha matangazo ya laki 2 na 40 yasirushwe, kwa hilo nilishazungumza na Jaydee na kuomba radhi toka tarehe 14 December 2012. Clouds FM haina ubia wowote ule na Skylight Band (ni bendi iliyoanzishwa na Mtanzania)hivyo kuipromote ni katika misingi ile ile ya biashara kama tunavyopromote bendi yeyote ile na vilevile Clouds FM pia haihusiki kabisa na kutetereka kwa biashara ya chakula, vinywaji na bendi inayofanyika Nyumbani lounge. Inashangaza hata kuhusishwa na biashara ya Nyumbani lounge…!!! 
Sina ugomvi binafsi na Jaydee wala Gadna, na tarehe 12 February mwaka huu, nilienda kuazima stools kwa ajili ya shooting kutoka kwenye sehemu yao ya biashara ingawa yeye amekiri kuwa na ugomvi mkubwa na sisi binafsi na Clouds kama chombo. 
Nyimbo yake iliyotoka ya Joto Hasira ilipokelewa vizuri sana kulinganisha na nyimbo mbili zilizopita ‘Yeye’ na ‘Mimi ni mimi’ ambazo hazikufanya vizuri pamoja na jitihada kubwa ya kuzipromote. Joto Hasira iliacha kupigwa kutokana na shinikizo lake mwenyewe, ikiwa imeshachezwa mara 48 ndani ya wiki tatu toka imetoka wote tulipigwa na bumbuwazi na kujiuliza ni kitu gani tumefanya kuambiwa hatupigi nyimbo na lawama nyingine. Kama ofisi tukaona tukae kimya na kusubiri hatua inayofuata ukizingatia tuliendea kupiga nyimbo na video hata baada ya maneno makali ya mwanzo. Kauli haikubadilika, mbaya zaidi kauli za kebehi na kuchafuana zikaongezeka hadi kufikia uamuzi wa sisi kama taasisi kuamua rasmi kutopiga nyimbo zake hadi atakapofuta kauli zake na kuomba msamaha. 
Kupiga au kutopiga nyimbo kwa kituo cha redio ni jambo la kawaida na kwasababu ni chombo binafsi ni muhimu kwa watu kama Jaydee na wasanii wengine (na hata wananchi wa kawaida) kuelewa kuwa kila ofisi ina taratibu zake na iwapo utatokea ukiukaji wa taratibu hizo, policy ndo zinaongoza maamuzi.  Hebu tujiulize, mbona sio mjadala wa Taifa msanii Diamond hapigwi karibu miezi sita sasa kwenye station ya Magic FM, Ray C na Ali Kiba kwa karibu mwaka mzima walikuwa nyimbo zao na video hazipigwi na East Africa hadi walipoomba msamaha, hadi Yanga kwa muda mrefu walikuwa hawatangazwi habari zao kwenye chombo kimoja cha habari. Hayo ni mambo ya ofisi binafsi na hakuna anayeweza kulaumu maamuzi hayo. 
‘Management reserves the right of admission’……nani hajaona kibao hiki kwenye hoteli nyingi tu nchini, nani asiyefahamu kuwa kuna hoteli ambazo ukienda kama mwanamke peke yako unakataliwa? Hizi ni taratibu na kila mahali zipo…..hata nyumbani lounge ndo maana Sam Machozi ambaye yuko Skylight Band zamani alikuwa mwanamuziki wa Machozi Band amepigwa marufuku pale Nyumbani lounge na halalamiki maana ni sehemu binafsi na ina taratibu zake. Ni tofauti na sehemu za wazi za umma kama Mnazi mmoja au kituo cha basi cha Magomeni.
 Clouds Media Group inafuata taratibu zote za nchi na za kimkoa ila na yenyewe pia inaweka taratibu zake za uendeshaji. Sasa isifike mahali Clouds inapoweka taratibu zake hizo na kuzitekeleza inaonekana inafanya makosa.  Yaani hata tarehe za kufanya show nchi hii tunatakiwa kupeleka maombi sehemu ili watu zaidi ya mmoja wasifanye show kweli??? Kwanini tunachanganya ushindani na fitina…..acha ziwepo bendi 10 zinazoshindana, kuanzishwa kwa bendi nyingine kusiangaliwe kama fitna.  Na hata mtu akianzisha bendi kwa kuchukua wanamuziki kutoka kwenye bendi nyingine, si ndio dhana ya ushindani??? 
Kama ni kulalamika kuanzishwa kwa bendi nyingine au kuchukuliwa wanamuziki, Dadaangu Asha Baraka si angeshafanya maandamano nchi nzima. Ila wote tunatambua kuwa ni jasiri ndo maana anatulia na kuanza upya. 
Mbona watu hawalalamiki  baa zinapofunguliwa 10 mtaa mmoja, au saloon za nywele, moja jirani na nyingine. Ni lazima tukubali na tuzoea ushindani. 
Pamoja na ushindani kingine ninachoomba  kuwasihi watanzania wenzangu hasa hasa wasanii wetu  zaidi ni kuwa kila mtu na kila kitu kina ‘shelf life’. Watu wa zamani naamini wanamkumbuka Power Mabula….alikuwa anatisha sana wakati ule. Au nani anaweza kusahau umaarufu wa Mzee Nobert Chenga na Kundi la Muungano cultural troupe au labda huko ni nyuma sana; nani anamkumbuka Kanda Bongo Man, alicharge laki moja enzi hizooo….au labda hapa katikati umaarufu wa Muumini, Mr Nice au mtu kama Saida Karoli (alijaza Stadium). Wote hao walikuwa maarufu sana. Sasa wasanii hawa na wengine wanaokuja wasipojiandaa kuelewa kuwa kila kitu kina muda wake, tutakuwa na taifa la vijana ambao asubuhi mpaka jioni badala ya kuhangaikia fursa nyingi zilizopo wataishia kutafuta mtu wa kumlaumu. 
Ni lazima Edibily Lunyamila atarithiwa sehemu yake na kina Mrisho Ngassa ambaye naye muda utapita ni lazima atawaachia kina Simon Msuva. Wapo watu kama kina Dully Sykes walioanza kujiandaa kwa kuwaachia kina Diamond na wao kufungua studio na kuwa maproducer. Suala la kupokezana vijiti halikwepeki kuanzia makazini, mpirani na hata kwenye sanaa. Cha kufanya ni kujiandaa kwa maisha yako baada ya kugawa kijiti chako. 
Taarifa za kutaka kuua muziki wa Bongo flava kwa makusudi zinashangaza, ili iweje sasa??? Clouds inategemea matangazo ya biashara kama asilimia 95 ya mrija wa mapato na muziki tunaopiga redioni ni sehemu ya maudhui kwahiyo hakuna namna yeyote ile tutataka muziki huo upotee. Tunafanya juhudi zote hizi kwasababu tunahitaji nyimbo bora na wasanii bora ili tuweze kuendelea kuwa kituo bora cha redio.
SUMMARY YA MSIMAMO WETU
Fursa: 
Uganda endorsment
TZ ringtones
Album sales – Kina Mamu.
DVD live performance shows.
Meeting ya wasanii wote watoe maoni.

Saturday, May 4, 2013

MATOKEO KIDATO CHA NNE YAFUTWA NA KUSAHISHWA UPYA:


Habari leo hii kutoka bungeni zinaweza kuwa ni sehem nzuri ama habari nzuri kwa wanafunzi wengu huku baadhi wakiona kama ni mizinguo..
sababu inayonifanya kusema hiki, ni pale nilipowafikiria wale waliopata division 1, hofu itakua imetanda baada ya kauli ya wabunge walioteuliwa kufatilia ishu ya kufeli kwa wanafunzi wa kidato cha nne 2011 / 2012, ambapo inaonekana kabisa kurudiwa kusahihishwa upya kwa mitihani hiyo
Taarifa ya tume iliyoundwa na waziri mkuu kuchunguza sababu za kufeli vibaya kwa watahiniwa wa kidato cha nne imesomwa bungeni leo na Mh.Lukuvi.
Mh.Lukuvi. amesema sababu zilizosababisha wanafunzi wafeli ni upungufu wa waalimu, mazingira magumu a kufundishia, idadi kubwa ya shule za sekondari iliyopelekea idadi kubwa ya watahiniwa na utaratibu mbovu wa baraza la mitihani uliotumika bila kuwashirikisha wadau wa elimu
Mh.LukuviI amesema kuwa NECTA haikufuata vigezo vya kuwafaulisha wanafunzi kwa kufuata STANDARDIZATIONS na CONTINOUS ASSESSMENTS.
Hivyo basi, matokeo hayo yamefutwa na yatasahihishwa upya